Inaelezwa kuwa Tanzania inakabiliwa na tatizo la kuwa na watoto wa mitaani na kwa takwimu zilizopo ni kwamba inakadiriwa kuwa na idadi ya watoto 35,919 wanaoishi na kufanya kazi mitaani katika majiji na miji mbalimbali licha ya jitihada mbalimbali zinazofanywa na Serikali pamoja na Wadau kutokomeza tatizo hilo. Hayo yamebainika wakati wa kikao kazi cha Makatibu
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed